JE BADO WATOKWA NA UCHAFU UKENI
*UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE*
*Pelvic Inflammatory Disease*
*Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu* *zifuatazo-:*
.
*Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria* *wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa *bacteria* *wa *kupambana* *na *maambukizi* . *Kadhalika *ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua* . *Pia sababu nyingine ni matumizi ya *condoms na kufanya* *ngono zembe* .
*DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1️⃣ *Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa* ni *mweupe, njano, au maziwa*
2️⃣ *Kuwashwa sehemu za siri*
3️⃣ *Uke kutoa harufu mbaya*
4️⃣ *Maumivu ya tumbo chini ya kitovu*
5️⃣ *Uke kuwa wa ulaini sana*
6️⃣ *Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
7️⃣ *Kuvurugika Kwa hedhi*
8️⃣ *Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi*
9️⃣ *Maumivu wakati wa kukojoa na* *wakati wa choo kubwa*
Ugonjwa P I D na Tiba
Description :
This listing was not posted by a representative of Jumia. Jumia cannot guarantee the origin of the product / service.