*MAMBO AU VIHATARISHI VINAVYOONGEZA UWEZEKANO WA MTU KUPATA UGONJWA WA MOYO*
i. Ugonjwa wa shinikizo kubwa la damu (Presha) hasa kama hautumii dawa na matibabu ya kudhibiti presha
ii. Ugonjwa wa kisukari
iii. MATUMIZI YA SIGARA: Hii ujumuisha uvutaji wa sigara,tumbaku na ugoro
iiii. LISHE MBAYA: Ulaji wa vyakula vyenye mafuta mengi,sukari nyingi,chumvi nyingi, lehemu nyingi na kutotumia mbogamboga na matunda.
v. Unywaji pombe
vi. Uzito au unene uliopitiliza
vii. Kutokufanya mazoezi
viii. Umri : Zaidi ya miaka 50
ix. Historia ya ugonjwa wa moyo kwenye familia
x. JINSI: Jinsia ya kuime hupata ugonjwa wa moyo mapema
SULUHISHO LA UGONJWA WA MOYO.
Description :
This listing was not posted by a representative of Jumia. Jumia cannot guarantee the origin of the product / service.