Description :
*Ukiona yafuatayo, ujue unaweza kuwa na tatizo la maambukizi ya vijijidudu vya maradhi katika uke wako:*
⤵️⤵️⤵️
*1️⃣Kutokwa na uchafu ukeni kunakoambatana na kuwashwa au vijipele,*
*2️⃣kutokwa na uchafu ukeni ambako ni endelevu na kwa kiwango kinachozidi kila siku,*
*3️⃣kusikia maumivu wakati wa kutoa haja ndogo*
*4️⃣kutokwa na uchafu mweupe, mzito kama jibini, uchafu wa kijivu/mweupe au njano/kijani unaotoa harufu mbaya.*
*TIBA YAKE*