FAHAMU SABABU ZINAZOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO.
√√
Tatizo LA kutopata mimba linawasumbua wengi..katika jamii na familia mbalimbali .Ila nitatizo ambalo linatibika
Angalia sababu kubwa zinazopelekea tatizo LA hili
~kuziba kwa mirija ya kizazi(fallopian tubal blockage (
~Hydrosalpinx..mirija ya uzazi kujaaa maji
~Ugonjwa wa PID(pelvic inflammatory diseases)
~Fibroids .. Uvimbe kwenye kizazi
~Ovarian cyst--ovary kushibdwa kutoa mayai ya uzazi au kutoa mayai yasio kua na nguvu
~ugonjwa wa endometriosis
~Umri mkubwa wa mwanamke hasa miaka 35-45 na kuendelea...
.. ..uvutaji wa sigara
...saratani ya ovary
...ugonjww wa polycystic ovarian syndrome (ovarian cysts)
SABABU NYINGINE ZINAZOPELEKEA UGUMBA KWA MWANAMKE
--Makovu katika mji wa uzazi kutokana na kutoa mimba
__uvimbe katika kizazi
___kulegea kwa shingo LA uzazi
.___kuziba kwa mirija ya uzazi
__kuziba kwa mirija ya uzazi
@@MATIBABU
Ni vema kwanza kufanya vipimo hasa mwili mzima.
..Inawezekana unapata changamoto ya kutopata ujauzito kutoka na shida ndogo .kumbuka shida ya uzazi inatibika ..
Kwa ushaurii/matibabu
Wasiliana nasi
Watsup us via
PATA SULUHISHO UNASE UJAUZITO
Description :
Our safety tips
- Listings with a "Shop" tag means that the publisher was curated by Jumia.
- At all costs, avoid paying before seeing the item.
- Avoid sending money through untraceable methods such as Western Union or Mobile Money.
- Thoroughly check the item to make sure it's matches the assumed condition.
- If the seller doesn't have a shop, meet with him in a public place (Mall, Gas station, workplace ...).
- Do not give personal details (bank details, credit card numbers ...).
- Beware of offers that are too good to be true.
This listing was not posted by a representative of Jumia. Jumia cannot guarantee the origin of the product / service.