Rooms20
Description :
👉nyumba 3 za vyumba 20 zinauzwa
bei milion 40
👉 zipo kimara bonyokwa maeneo ya kwa mama stella
💥nyumba mbili zina tailizi jipsom ya tatu bado mpyaa imepigwa lafu floo
eneo mita 40 /25
km 3 toka stendi kuu ya mwendokasi
✍️na vyumba 16 tayali vyote vinawapangaji ambao wanalipa elfu 50 mpaka 70 na master zipo nane 4 bado mpyaa
njoo ukague ulipie